SHOOL AND UNIVERSITIES
Nitume Mimi inamsaidia
Mwanafunzi anayetarajia kuripoti kwa mara ya kwanza katika shule au chuo
alichopangiwa.
Mwanafunzi husika
(mwanachuo au secondary) utapokelewa vizuri na kupelekwa mpaka shule au chuo
husika au mahali atakapokuwa anahitaji kupelekwa na kufikishwa salama kabisa.
Kama itakulazimu
kutafutiwa mahala pakulala (Hotel/Lodge) kabla ya kufika unapotaka kufika, basi
NITUME Mimi itakutafutia mahala pazuri kwa gharama sawa sawa na fedha
utakayoweza kulipia.
Pia NITUME Mimi
inasaidia katika shughuli za mahafali ya kumaliza masomo kwa kumuandalia na
kusimami shughuli nzima ya sherehe yake kwa kutafuta na kuandaa ukumbi, picha
na chakula.
Hata hivyo NITUME Mimi (Kwa
baadhi ya vyuo na shule) imepata kibali cha kumsaidia mhitimu kwa kumshikia
siti yake atakayokaa siku ya mahafali pamoja na kumchukulia mhitimu Joho lake
(Nguo Ya Mahafali) kisha tutamfulia na kuinyoosha vizuri na Mhitimu kukabidhiwa
likiwa safi.
Na mara baada ya
kumaliza shughuli za mahafali atatupatia hiyo Nguo ya mahafali kwa lengo la
kuirudisha kwa chuo husika.
WASILIANA NASI KWA;
SIMU: 0678 210 001,
0712 479 905,
0765 480 008
E-MAIL: huduma@nitumemimi.com


0 comments:
Post a Comment